Kuna utata mwingi kuhusu kumtambua Roho Mtakatifu. Wengine humchukulia kama nguvu fulani zisizoonekana. Wengine huamini kwamba ni uwezo wa Mungu ambao Mungu huuachilia maishani mwa wale ambao wamemwamini Kristo. Je, Biblia inasemaje kuhusu Roho Mtakatifu? Kwa kifupi, Biblia inasema kwamba Roho Mtakatifu ni Mungu. Pia, Biblia inasema kwamba Roho Mtakatifu ni nafsi, yenye akili, hisia, […]


